Wakati
Rais John Magufuli alitishia kubadili fedha za Tanzania katika juhudi
za kuwadhibiti watu wanaodaiwa kuficha fedha, Waziri Mkuu wa India,
Narendra Modi ametangaza kuziondoa kwenye mzunguko noti za Rupia 500 na
1,000.
Akizungumza
katika mkutano wa 14 wa mwaka wa wahandisi uliofanyika Septemba Mosi
katika Ukumbi wa Mlimani City, Rais Magufuli alisema kwa mamlaka
aliyonayo anaweza kuamua kubadili fedha ili zile zinazofichwa, watu hao
wakose mahali pa kuzipeleka.
Alisisitiza
kwa kusema kauli hiyo ni mahsusi kwa watu walioficha fedha katika
majumba yao na kuwataka kuacha tabia hiyo mara moja ili fedha hizo
ziingie katika mzunguko.
Rais
Magufuli alisema katika utawala wake fedha za bure hazitakuwapo kwa
sababu zilizokuwapo awali zilitokana na fedha za wizi kutoka serikalini
ambazo kwa sasa zimedhibitiwa.
Alisema kwa mwendo anaokwenda nao sasa ni ngumu kwa mwananchi kupata fedha bila kufanya kazi.
Habari
kutoka India zinasema Waziri Mkuu Modi alitangaza hatua hiyo ya
kushangaza kwenye runinga Jumanne usiku kuwa ni mojawapo ya harakati za
kukabiliana na ufisadi na ukopeshaji wa fedha haramu.
Modi
alisema noti zote za Rupia 500 na 1,000 “hazitakuwa fedha halali
kuanzia usiku wa manane leo” na kwamba “zitabaki kuwa makaratasi yasiyo
na maana.”
Hata
hivyo, alisema noti nyingine za Rupia 100, Rupia 50, Rupia 20, Rupia
10, Rupia 5, Rupia 2 na sarafu zote zitaendelea kuwa na thamani.
“Ulanguzi
wa fedha na ufisadi ndiyo vikwazo vikuu katika kukabiliana na
umasikini,” alisema Modi na kuongeza: “Watu wataweza kubadilisha noti
zao za zamani na mpya katika benki kuanzia Novemba 10 hadi Desemba 30 na
kwamba fedha hizo hazitatumika tena.”
Benki
zilifungwa jana huku huduma za mashine za kutoa pesa za ATM
zikisitishwa. Badala yake noti mpya za Rupia 500 na 2,000 zitawekwa
katika mfumo wa fedha kuchukua nafasi ya zilizoondolewa.
Tangazo
hilo lilisababisha mtafaruku kwenye vituo vya mafuta na maeneo mengine
ya biashara kwani wauzaji wa rejareja walikuwa wakikataa kupokea noti
hizo huku mashine za kutolea fedha zikifungwa. Katika viwango vya
ubadilishaji fedha noti ya Rupia 500 ni sawa na Sh16,000 na Rupia 1,000
ni sawa na Sh32,000.
Wateja
watakuwa na uwezo wa kubadili noti hizo ili wapewe mpya au kuziweka
kwenye akaunti, lakini watatakiwa kujieleza mamlaka ya mapato
walivyozipata.
Kufuatia
kutangazwa kwa Donald Trump kuwa Rais mteule wa Marekani, wananchi wa
Marekani wameandamana katika miji saba kupinga ushindi huo wa Trump.
Waandamanaji
hao wamekusanyika nje ya mnara maarufu wa Trump ‘ Trump Tower’ mjini
New York wakipaza sauti za kumpinga Trump. Wengine walionekana nje ya
Ikulu ya Marekani wakipaza sauti kuwa “Not my president” (Si Rais
wangu), pamoja na mabango mengine.
Wengi
wa waandamanaji walioongea na CNN wameelezea kuwa wana wasiwasi sana
kuhusu Trump kwavile kuongoza Marekani sio kama kuiongoza nchi yoyote
duniani.
“Kwa
matokeo haya tumeiangusha Dunia. Trump hakustahili kuwa Rais. Nahisi
watu walipiga kura kwa hasira lakini Trump ni hatari kwa dunia,” alisema
mmoja wa waandamanaji aliyejitambulisha kwa jina la James Betwell
kutoka Califonia.
MADRID, Nov 6 (Reuters) - Cristiano Ronaldo has agreed to extend his
contract with Real Madrid until 2021, the European champions confirmed
on Sunday.
Ronaldo, Real's all-time top scorer with 371 goals in 360 games, will
sign the new deal on Monday at the Santiago Bernabeu Stadium before
giving a news conference.
Ronaldo is reported to be in line for an increase on his current
salary, estimated to be 21 million euros ($23 million), making him the
highest-paid player at Real Madrid.
The Portuguese has collected one La Liga title, two King's Cups and
two Champions League titles since joining Real from Manchester United in
2008 for a then world record 96 million euros but has had an
inconsistent start to the current campaign.
The forward failed to hit the target in a near anonymous display in
Real's 3-0 win over Leganes on Sunday to mark five games without scoring
at the Bernabeu, his longest run without a goal in front of Real's fans
since he joined the club.
Ronaldo's last goal at the Bernabeu came against Sporting Lisbon in
the Champions League on Sept. 14. His only goal there in the league was
against Osasuna on Sept. 10.
Ronaldo has scored seven goals in the league and Champions League
this term and made amends for his worst start to a season since joining
Real by hitting a hat-trick in last week's 4-2 win away to Alaves.
The 31-year-old missed a series of chances against Legia Warsaw on
Wednesday, however, and was seen venting his fury at Bale for not
passing to him in the second half against Leganes.
"Nothing is up with Cristiano, we always want him to score and at Alaves he scored three and that's that," said Zidane.
"He always wants to score but it doesn't matter if he doesn't once in
a while. I think he's playing well, working hard for the team. He
obviously always wants to score but I think he's relaxed about it."
Despite the player's current inconsistency, Zidane expressed his delight at Ronaldo extending his stay at the club.
"I'm happy because he's the type of player who deserves to finish his
career at Real Madrid," said Zidane, who saw out his playing days at
the Bernabeu and was infamously sent off for France in the 2006 World
Cup final in his last ever game.
"He's unique. His dream is to retire here, wearing this great white
shirt, just like I did." (Reporting by Richard Martin in Barcelona;
Editing by Toby Davis and Clare Fallon)
Protesters
call for the resignation of South Korean President Park Geun-Hye, at
Gwanghwamun square in Seoul, on November 5, 2016 (AFP Photo/Ed Jones)
South
Korean prosecutors arrested two former top presidential aides Sunday in
a snowballing influence-peddling scandal which has seen tens of
thousands of people take to the streets to demand President Park
Geun-Hye resign.
Park's
approval ratings have hit a historic low of five percent -- a record
for a sitting president -- over the scandal involving her close friend
Choi Soon-Sil.
Choi
has been arrested for fraud and also stands accused of meddling in
state affairs -- including government appointments and policy decisions
-- despite holding no official position.
Ahn
Jong-beom, a former senior advisor to Park, was formally arrested early
Sunday on charges of abuse of power and attempted coercion, the Yonhap
news agency reported.
He
is suspected of helping Choi collect millions of dollars in donations
from conglomerates like Samsung to two dubious non-profit foundations
which Choi set up and allegedly used for personal gain.
Ahn,
who has been in custody since Wednesday after stepping down late last
month said he would "take responsibility" for failing to properly advise
the president, Yonhap reported.
Prosecutors
also arrested Jeong Ho-Seong, another former presidential aide, over
allegations that he leaked classified information.
The
47-year-old Jeong, who was known as Park's right hand man and has
assisted her since 1998, is suspected of passing presidential speeches
and official documents to Choi.
Park
has been scrambling to restore trust in her administration amid the
deepening crisis, reshuffling ministers and senior advisers to bring in
figures from outside her ruling conservative Saenuri Party.
But
the reshuffle has done little to assuage public anger, with tens of
thousands of protesters rallying to demand her resignation in a
candlelight demonstration on Saturday.
Police
said around 50,000 people had turned out for the rally -- more than
double the size of a similar anti-Park protest the week before.
Organisers said the number was closer to 200,000.
Han
Gwang-Ok, Park's new chief of staff who was appointed last week, said
Saturday's protest reflected the gravity of the current situation.
"All
senior secretaries must fully cooperate in uncovering the truth beyond
any doubt," Han said during a meeting with the presidential secretaries
on Sunday.
- Modern-day Rasputin -
In
a televised address Friday, Park agreed to be questioned by
prosecutors, and sought to portray herself as an over-trusting friend
who had let her guard down at a moment of weakness.
Her
voice choking with emotion, Park said she had been living a "lonely
life" as president and had turned to Choi for company and help.
The
South Korean media has portrayed Choi, whose late father was a shadowy
religious leader and an important mentor to Park, as a Rasputin-like
figure who wielded an unhealthy influence over the president.
Choi
is the daughter of late religious leader Choi Tae-Min, who was married
six times, had multiple pseudonyms and set up his own cult-like group
known as the Church of Eternal Life.
Park
has been forced to deny that she fell for a religious cult or allowed
shamanist rituals to be performed in the presidential Blue House.
Despite the mass protests, Park is not expected to resign with just over a year of her single term in office left.
Whatever
transpires, the very personal nature of the scandal has severely
undermined Park's ability to govern, turning her into the lamest of
lame-duck leaders at a time of slowing economic growth, rising
unemployment and elevated military tensions with North Korea.
Watu
17 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha lori la mizigo aina ya
Scania lenye namba za usajili T198CBQ na Noah ya abiria yenye namba za
usajili T232BQR iliyotokea jana usiku katika kijiji cha Nsalala mkoani
Shinyanga.