
Huu unakuwa mfululizo wa mabomu yanayofichuliwa na Mbunge huyo machachari huku ikiwa ni ndani ya wiki moja tu toka kufichua ufisadi wa zaidi ya trilion 1 uliofanyika wakati wa uuzwaji wa hati fungani kutoka katika Serikali kwenda kwa benki ya Stanbic Bank

No comments:
Post a Comment