
Ripoti iliyonifikia kutokea Mwanza ni hii ya kukamatwa kwa Daktari feki kwenye hospitali ya Mkoa ya Sekouture Mwanza, mtuhumiwa anajulikana kwa jina la David Igwesa amekamatwa baada ya kuomba pesa kwa mgonjwa kiasi cha shilingi 500,000.
Baada ya mgonjwa kuona muda unapita bila kupatiwa matibabu akaamua kwenda kwa Kaimu Mganga mfawidhi Dk Bahati Msaki kumueleza ndipo wakaanza kumtafuta na kumakamata…ninazo sentensi za Mganga mfawidhi akieleza kutana nazo; – Bahati Msaki Kaimu Mgaga Mfawidhi
‘Alikuja mgonjwa anaitwa Dotto alitakiwa kufanyiwa upasuaji akawa analalamika alikutana Daktari mapokezi akamwambiwa ampe laki tano ili amfanyie upasuaji nikamwambia twende ili niweze kumtambua nilimuita ofisini;– Dk Bahati Msaki
Baada ya mgonjwa kuona muda unapita bila kupatiwa matibabu akaamua kwenda kwa Kaimu Mganga mfawidhi Dk Bahati Msaki kumueleza ndipo wakaanza kumtafuta na kumakamata…ninazo sentensi za Mganga mfawidhi akieleza kutana nazo; – Bahati Msaki Kaimu Mgaga Mfawidhi
‘Alikuja mgonjwa anaitwa Dotto alitakiwa kufanyiwa upasuaji akawa analalamika alikutana Daktari mapokezi akamwambiwa ampe laki tano ili amfanyie upasuaji nikamwambia twende ili niweze kumtambua nilimuita ofisini;– Dk Bahati Msaki

Daktari feki David Igwesa mbele ya wanahabari
‘Sikuweza
kumfahamu sio Daktari muajiriwa na wala sio wale Madaktari ambao wapo
katika mafunzo katika kumuuliza akashindwa kujieleza yeye ni mtu wa aina
gani tukagundua huyu ni wale matapeli wanaotapeli wagonjwa wanakuja
wanajifanya madaktari mwisho wa siku wanawachukulia wagonjwa hela bila
kuwapatia risiti; – Dk Bahati Msaki Kaimu Mgaga Mfawidhi Sekouture.

No comments:
Post a Comment