Wednesday, January 20, 2016

Tazama Hapa Matokeo ya Kidato cha Pili 2015/16


http://www.necta.go.tz/matokeo/ftna2015/html/index.htm
Baraza la mitiani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha 2 kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana ambapo wanafunzi 324,068 sawa na 89% kati ya wanafunzi 363,666 waliofanya mtihani wamefaulu kuendelea na kidato cha tatu.

No comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments system