Mwenyekiti
 wa CCM na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho kikwete akiongozana na Rais 
Dkt John Pombe Joseph Magufuli , Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim 
Majaliwa, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti wa 
CCM (Bara) Mhe Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana 
Kinana kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya 
CCM Taifa jijini Dar es salaam leo Desemba 7, 2015.
 
 Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho kikwete akiongoza 
Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa jijini Dar es 
salaam leo Desemba 7, 2015.
 Rais
 Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipigiwa saluti na Katibu Mkuu wa CCM 
Ndg. Abdulrahmana Kinana kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya 
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa jijini Dar es salaam leo Desemba 7, 2015.
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana.
 Rais
 Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Dkt 
Salim Ahmed Salim. wengine ni Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa, 
Makamu wa Rais Mhe samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. 
Abdulrahmana Kinana kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya 
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa jijini Dar es salaam leo Desemba 7, 2015.
Rais
 Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimpa pole Mwakilishi Mkazi wa Benki ya
 Dunia nchini Bi. Bella Bird alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam
 leo Desemba 7, 2015
PICHA NA IKULU.






 
No comments:
Post a Comment