Saturday, December 12, 2015

Ujumbe wa Mario Balotelli kuhusu Euro 2016 unaoshangaza wengi !!!

Kuelekea michuano ya Euro 2016 mshambuliaji wa Liverpool aliyepo kwa mkopo katika klabu ya AC Milan ya Italia Mario Balotelli, ameingia katika headlines baada ya kuandika ujumbe ambao hadi sasa unashindwa kueleweka kuwa staa huyo amekusudia nini au lengo lake hasa ni nini?
Mario Balotelli ameingia katika headlines baada ya kuandika ujumbe katika account yake ya Instagram unaohusiana na michuano ya Euro 2016 inayotegemea kufanyika Ufaransa, Balotelli ambaye amepoteza namba katika kikosi cha timu ya taifa ya Ufaransa aliandika ” Can’t wait” huku akiambatanisha na picha ya kundi B ambalo lina timu za Ubelgiji, Ireland, Sweden na Italia.

No comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments system